Tuesday, December 15, 2009

JB Mpiana & Tchala Muana Ndani ya UBUNGO PLAZA-IJUMAA HII TAR. 18 DISEMBA


Jean Bedel Mpiana Tshituka (JB Mpiana) na Madame Elizabeth TSHALA MUANA wanatarajia kutua jijini Dar es Salaam mapema wiki hii kwa Tamasha la Club E ambalo litafanyika tar. 18/12/2009 pale Ubungo Plaza wasanii waho nguli na wakali wa kunyenga mauno kwenye jukwaa ambao kila mtu alitamba na wanaendelea kutamba na mpaka sasa katika tasnia ya muziki wa congo.

CLUB E kupitia chapa yake ya Embassy ndio wenye kuwaletea wananchi onyeshoo hili.

No comments:


I made this widget at MyFlashFetish.com.